24 Nao lazima wataingia ndani juu yako pamoja na kelele za magari ya vita na za magurudumu,+ na pamoja na kutaniko la vikundi vya watu, pamoja na ngao kubwa na ngao ndogo na kofia. Watajipanga juu yako pande zote, nami nitawapa hukumu, nao watakuhukumu wewe kwa hukumu zao.+