Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 47:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kutokana na sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi-dume+ zake, kutokana na kuvuma kwa magari yake ya vita,+ machafuko ya magurudumu yake,+ akina baba hawatawageukia wana, kwa sababu ya kulegea kwa mikono yao,

  • Ezekieli 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya umati unaosukasuka wa farasi zake mavumbi yao yatakufunika.+ Kwa sababu ya sauti ya askari wapanda-farasi na gurudumu na gari la vita kuta zako zitatikisika, atakapoingia katika malango yako, kama ilivyo nyakati za kuingia katika jiji lililofunguliwa kwa matundu yaliyotobolewa.

  • Nahumu 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna sauti ya mjeledi+ na sauti ya mgongano wa gurudumu, na farasi anayetimua mbio na gari linalorukaruka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki