3 Kutokana na sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi-dume+ zake, kutokana na kuvuma kwa magari yake ya vita,+ machafuko ya magurudumu yake,+ akina baba hawatawageukia wana, kwa sababu ya kulegea kwa mikono yao,
10 Kwa sababu ya umati unaosukasuka wa farasi zake mavumbi yao yatakufunika.+ Kwa sababu ya sauti ya askari wapanda-farasi na gurudumu na gari la vita kuta zako zitatikisika, atakapoingia katika malango yako, kama ilivyo nyakati za kuingia katika jiji lililofunguliwa kwa matundu yaliyotobolewa.