- 
	                        
            
            1 Wafalme 20:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
9 Kwa hiyo akawaambia wajumbe wa Ben-hadadi: “Mwambieni bwana wangu mfalme, ‘Mambo yote ambayo ulitaka mwanzoni mimi mtumishi wako nifanye nitafanya, lakini siwezi kufanya jambo hili.’” Basi wajumbe hao wakaenda zao, wakampelekea ujumbe huo.
 
 -