24 Mwishowe wakaingia ili kutoa dhabihu na matoleo ya kuteketezwa, na Yehu akaweka watu 80 upande wa nje ili wawepo kwa ajili yake, naye akaendelea kusema: “Mtu yeyote atakayeponyoka kati ya watu ninaotia mikononi mwenu, nafsi ya huyo mtu itakuwa badala ya nafsi ya yule mwingine.”+