Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe wakaingia ili kutoa dhabihu na matoleo ya kuteketezwa, na Yehu akaweka watu 80 upande wa nje ili wawepo kwa ajili yake, naye akaendelea kusema: “Mtu yeyote atakayeponyoka kati ya watu ninaotia mikononi mwenu, nafsi ya huyo mtu itakuwa badala ya nafsi ya yule mwingine.”+

  • Matendo 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Herode+ akamtafuta kwa bidii na, alipokosa kumpata, akawahoji walinzi na kuwaamuru wapelekwe kuadhibiwa;+ naye akashuka kwenda Yudea mpaka Kaisaria na kukaa huko kwa muda fulani.

  • Matendo 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mlinzi wa jela, alipoamka kutoka usingizini na kuona milango ya gereza ilikuwa imefunguka, akauchomoa upanga wake na alikuwa karibu kujiua,+ akiwazia kwamba wafungwa walikuwa wametoroka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki