1 Wafalme 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tazama! nabii fulani akamkaribia Ahabu mfalme wa Israeli,+ kisha akasema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Je, umeuona umati huu wote mkubwa? Tazama, nitautia mkononi mwako leo, nawe hakika utajua kwamba mimi ni Yehova.’”+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
13 Na tazama! nabii fulani akamkaribia Ahabu mfalme wa Israeli,+ kisha akasema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Je, umeuona umati huu wote mkubwa? Tazama, nitautia mkononi mwako leo, nawe hakika utajua kwamba mimi ni Yehova.’”+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+