1 Wafalme 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini nabii fulani akaenda kwa Mfalme Ahabu+ wa Israeli na kumwambia: “Yehova anasema, ‘Je, umeuona umati huu wote mkubwa? Tazama, ninautia mikononi mwako leo, kisha utajua kwamba mimi ni Yehova.’”+
13 Lakini nabii fulani akaenda kwa Mfalme Ahabu+ wa Israeli na kumwambia: “Yehova anasema, ‘Je, umeuona umati huu wote mkubwa? Tazama, ninautia mikononi mwako leo, kisha utajua kwamba mimi ni Yehova.’”+