Kutoka 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova nitakapojipatia utukufu kupitia Farao, magari yake ya vita, na askari wake wapanda farasi.”+ Zaburi 37:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini waovu wataangamia;+Maadui wa Yehova watatoweka kama malisho bora kabisa;Watatoweka kama moshi.
18 Na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova nitakapojipatia utukufu kupitia Farao, magari yake ya vita, na askari wake wapanda farasi.”+
20 Lakini waovu wataangamia;+Maadui wa Yehova watatoweka kama malisho bora kabisa;Watatoweka kama moshi.