1 Wafalme 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ahabu akauliza: “Kupitia nani?” Nabii huyo akasema: “Yehova anasema hivi: ‘Kupitia watumishi wa wakuu wa mikoa.’”* Ndipo Ahabu akamuuliza: “Ni nani atakayeanzisha vita?” Nabii huyo akasema: “Ni wewe!”
14 Ahabu akauliza: “Kupitia nani?” Nabii huyo akasema: “Yehova anasema hivi: ‘Kupitia watumishi wa wakuu wa mikoa.’”* Ndipo Ahabu akamuuliza: “Ni nani atakayeanzisha vita?” Nabii huyo akasema: “Ni wewe!”