Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika watano kati yenu watawafukuza mia, na mia kati yenu watawafukuza elfu kumi, nao adui zenu wataanguka kwa upanga mbele yenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+

  • Zaburi 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+

      Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+

  • Zaburi 46:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mataifa yakawa na msukosuko,+ falme zikatikisika;

      Akavumisha sauti yake, dunia ikayeyuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki