Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mmoja angewezaje kufuatilia elfu,

      Na wawili kuwafanya elfu kumi wakimbie?+

      Haingewezekana isipokuwa Mwamba wao awe amewauza+

      Na Yehova awe amewatoa.

  • Yoshua 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtu mmoja tu kati yenu atafukuza elfu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi,+ kama vile ambavyo amewaahidi ninyi.+

  • Waamuzi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo akagawanya wale watu mia tatu katika vikosi vitatu na kuwapa wote mkononi baragumu+ na mitungi mikubwa mitupu, na mienge ndani ya mitungi hiyo mikubwa.

  • Waamuzi 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akaona mfupa mbichi wa taya ya punda-dume, akanyoosha mkono wake akauchukua, akapiga nao watu elfu moja.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu,+ yeye alikuwa kichwa cha wale watatu; naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki