24 Kwa maana jeshi la Wasiria lilivamia kwa hesabu ndogo ya watu,+ na Yehova mwenyewe akatia mkononi mwao jeshi lililo na hesabu kubwa sana,+ kwa sababu walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao; nao wakafanya hukumu juu ya Yehoashi.+
17 Watu elfu moja watatetemeka kwa sababu ya kemeo la mmoja;+ mtakimbia kwa sababu ya kemeo la watano mpaka mtakapokuwa mmebaki kama mlingoti juu ya kilele cha mlima na kama ishara juu ya kilima.+