24 Kwa maana ingawa jeshi la Wasiria lililovamia lilikuwa na wanaume wachache, Yehova alitia mikononi mwao jeshi kubwa sana la watu wa Yuda na Yerusalemu+ kwa sababu walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao; kwa hiyo wakatekeleza hukumu dhidi ya Yehoashi.