2 Mambo ya Nyakati 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana jeshi la Wasiria lilivamia kwa hesabu ndogo ya watu,+ na Yehova mwenyewe akatia mkononi mwao jeshi lililo na hesabu kubwa sana,+ kwa sababu walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao; nao wakafanya hukumu juu ya Yehoashi.+
24 Kwa maana jeshi la Wasiria lilivamia kwa hesabu ndogo ya watu,+ na Yehova mwenyewe akatia mkononi mwao jeshi lililo na hesabu kubwa sana,+ kwa sababu walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao; nao wakafanya hukumu juu ya Yehoashi.+