8 Na ikawa kwamba mara Yehu alipoanza kubishana na nyumba ya Ahabu,+ akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa ndugu za Ahabu, wahudumu wa Ahazia,+ naye akawaua.+
12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+