Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ikawa kwamba mara Yehu alipoanza kubishana na nyumba ya Ahabu,+ akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa ndugu za Ahabu, wahudumu wa Ahazia,+ naye akawaua.+

  • Isaya 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!

  • Habakuki 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki