Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+

  • 1 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wakamsahau Yehova, Mungu wao,+ naye akawauza+ mkononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa mfalme wa Moabu,+ nao wakaendelea kupiga vita juu yao.

  • Zaburi 44:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Unawauza watu wako kwa bei ndogo sana,+

      Wala hujapata faida yoyote kwa bei yao.

  • Isaya 50:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Yehova amesema hivi: “Basi, kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza?+ Au ni nani kati ya wakopeshaji wangu ambaye nimewauza ninyi kwake?+ Tazama! Mmeuzwa kwa sababu ya makosa+ yenu wenyewe, na mama yenu amefukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki