28 Kisha yule mtu wa Mungu wa kweli akaenda kwa mfalme wa Israeli na kumwambia: “Yehova anasema hivi, ‘Kwa sababu Wasiria wamesema: “Yehova ni Mungu wa milima, wala si Mungu wa nchi tambarare,” nitautia umati huu wote mkubwa mkononi mwako,+ na hakika utajua kwamba mimi ni Yehova.’”+