Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitawachukua muwe watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.

  • Kutoka 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova+ nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli miongoni mwao.”

  • Zaburi 83:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+

      Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+

  • Ezekieli 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitaunyoosha mkono wangu dhidi yao na kuifanya nchi iwe ukiwa, na makao yao yote yatakuwa ukiwa kuliko nyika iliyo karibu na Dibla. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”

  • Ezekieli 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nitalifanya jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Waisraeli, nami sitaruhusu jina langu takatifu lichafuliwe tena; na mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ Mtakatifu katika Israeli.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki