Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ningesema: “Nitawatawanya;

      Nitafanya ukumbusho wao usahauliwe kabisa miongoni mwa wanadamu,”

      27 Isingekuwa kwa sababu ya kuogopa jinsi maadui wangu watakavyotenda,+

      Kwa sababu huenda wapinzani wakalielewa vibaya jambo hilo.+

      Huenda wakasema: “Nguvu zetu zimeshinda;+

      Si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”

  • Ezekieli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu ili lisichafuliwe mbele ya mataifa ambamo waliishi.+ Nilijijulisha kwao* mbele ya mataifa hayo nilipowatoa* nchini Misri.+

  • Ezekieli 36:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa hiyo, waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, enyi watu wa nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelichafua miongoni mwa mataifa ambako mlienda.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki