2 Mambo ya Nyakati 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini wewe mwenyewe nenda, utende, uwe hodari kwa ajili ya vita.+ Mungu wa kweli anaweza kukufanya ujikwae mbele ya adui; kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia+ na za kusababisha kujikwaa.”+ Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+ Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+Naam, mtumaini Yehova.+
8 Lakini wewe mwenyewe nenda, utende, uwe hodari kwa ajili ya vita.+ Mungu wa kweli anaweza kukufanya ujikwae mbele ya adui; kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia+ na za kusababisha kujikwaa.”+