Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini wewe mwenyewe nenda, utende, uwe hodari kwa ajili ya vita.+ Mungu wa kweli anaweza kukufanya ujikwae mbele ya adui; kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia+ na za kusababisha kujikwaa.”+

  • Zaburi 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+

      Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+

  • Zaburi 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+

      Naam, mtumaini Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki