Kutoka 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ikiwa atadaiwa fidia, basi atatoa bei ya ukombozi kwa ajili ya nafsi yake kulingana na yote atakayodaiwa.+ Methali 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake,+ lakini maskini hajasikia kemeo.+
30 Ikiwa atadaiwa fidia, basi atatoa bei ya ukombozi kwa ajili ya nafsi yake kulingana na yote atakayodaiwa.+