Kutoka 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ikiwa atadaiwa fidia, basi atatoa bei ya ukombozi kwa ajili ya nafsi yake kulingana na yote atakayodaiwa.+ Yeremia 41:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini palikuwa na watu kumi kati yao ambao walimwambia Ishmaeli mara moja: “Usituue, kwa maana sisi tuna hazina zilizofichwa shambani, ngano na shayiri na mafuta na asali.”+ Kwa hiyo akajiepusha, naye hakuwaua katikati ya ndugu zao.
30 Ikiwa atadaiwa fidia, basi atatoa bei ya ukombozi kwa ajili ya nafsi yake kulingana na yote atakayodaiwa.+
8 Lakini palikuwa na watu kumi kati yao ambao walimwambia Ishmaeli mara moja: “Usituue, kwa maana sisi tuna hazina zilizofichwa shambani, ngano na shayiri na mafuta na asali.”+ Kwa hiyo akajiepusha, naye hakuwaua katikati ya ndugu zao.