Ayubu 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Shetani+ akamjibu Yehova, akasema: “Ngozi kwa ngozi, na kila kitu alicho nacho mtu atakitoa kwa ajili ya nafsi yake.+ Methali 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake,+ lakini maskini hajasikia kemeo.+ Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+
4 Lakini Shetani+ akamjibu Yehova, akasema: “Ngozi kwa ngozi, na kila kitu alicho nacho mtu atakitoa kwa ajili ya nafsi yake.+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+