14 Naye akapeleka uhamishoni+ Yerusalemu yote na wakuu+ wote na wanaume mashujaa wote, wenye nguvu+—akapeleka uhamishoni watu elfu kumi—na pia kila fundi+ na mjenzi wa maboma. Hakuna yeyote aliyeachwa nyuma isipokuwa watu wa tabaka ya chini+ wa nchi.
10 Na baadhi ya watu, watu wa hali ya chini ambao hawakuwa na chochote hata kidogo, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawaacha wabaki katika nchi ya Yuda;+ naye akawapa mashamba ya mizabibu na utumishi wa lazima katika siku hiyo.+