2 Wafalme 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wengine kati ya watu wa hali ya chini+ wa nchi, yule mkuu wa walinzi akawaacha wabaki wakiwa watunza-mizabibu na wafanyakazi wa kulazimishwa.+
12 Na wengine kati ya watu wa hali ya chini+ wa nchi, yule mkuu wa walinzi akawaacha wabaki wakiwa watunza-mizabibu na wafanyakazi wa kulazimishwa.+