Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akapeleka uhamishoni+ Yerusalemu yote na wakuu+ wote na wanaume mashujaa wote, wenye nguvu+—akapeleka uhamishoni watu elfu kumi—na pia kila fundi+ na mjenzi wa maboma. Hakuna yeyote aliyeachwa nyuma isipokuwa watu wa tabaka ya chini+ wa nchi.

  • Yeremia 39:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na baadhi ya watu, watu wa hali ya chini ambao hawakuwa na chochote hata kidogo, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawaacha wabaki katika nchi ya Yuda;+ naye akawapa mashamba ya mizabibu na utumishi wa lazima katika siku hiyo.+

  • Yeremia 40:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baadaye wakuu wote wa majeshi waliokuwa uwanjani,+ wao pamoja na watu wao, wakasikia kwamba mfalme wa Babiloni amemweka Gedalia mwana wa Ahikamu juu ya nchi na kwamba alikuwa amemweka juu ya wanawake na watoto wadogo na baadhi ya watu wa hali ya chini wa nchi, ambao hawakuwa wamepelekwa uhamishoni katika Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki