1 Wafalme 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakaondoka wakati wa adhuhuri Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa katika mahema* pamoja na wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia.
16 Wakaondoka wakati wa adhuhuri Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa katika mahema* pamoja na wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia.