1 Wafalme 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baadaye nabii huyo+ akaenda kwa mfalme wa Israeli na kumwambia: “Nenda, jiimarishe na ufikirie jambo utakalofanya,+ kwa maana mwanzoni mwa mwaka ujao* mfalme wa Siria atakuja kukushambulia.”+
22 Baadaye nabii huyo+ akaenda kwa mfalme wa Israeli na kumwambia: “Nenda, jiimarishe na ufikirie jambo utakalofanya,+ kwa maana mwanzoni mwa mwaka ujao* mfalme wa Siria atakuja kukushambulia.”+