1 Wafalme 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baadaye yule nabii+ akamkaribia mfalme wa Israeli na kumwambia: “Nenda, jitie nguvu+ na ujue na kuona utakalofanya;+ kwa maana mwanzoni mwa mwaka mfalme wa Siria atakuja kukushambulia.”+
22 Baadaye yule nabii+ akamkaribia mfalme wa Israeli na kumwambia: “Nenda, jitie nguvu+ na ujue na kuona utakalofanya;+ kwa maana mwanzoni mwa mwaka mfalme wa Siria atakuja kukushambulia.”+