7 Nami hakika nitawachukua kwangu muwe watu wangu,+ nami kwa kweli nitakuwa Mungu kwenu;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.+
5 Na Wamisri hakika watajua kwamba mimi ni Yehova wakati ambapo nitaunyoosha mkono wangu juu ya Misri,+ nami kwa kweli nitawatoa wana wa Israeli kutoka katikati yao.”+
14 Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yao+ na kuifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa, kuwa ukiwa mbaya zaidi kuliko nyika inayoelekea Dibla, katika makao yao yote. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”
7 Na jina langu takatifu nitalijulisha katikati ya watu wangu Israeli, wala sitaliacha tena jina langu litiwe unajisi;+ na mataifa watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ Mtakatifu katika Israeli.’+