14 Kwa maana wakati huu ninatuma mapigo yangu yote juu ya moyo wako na juu ya watumishi wako na watu wako, ili upate kujua kwamba hakuna yeyote aliye kama mimi katika dunia yote.+
22 Hiyo ndiyo maana wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova; kwa kuwa hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kati ya wote ambao tumewasikia kwa masikio yetu.
17 Kwa maana Andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki, ili kuhusiana na wewe nionyeshe nguvu zangu, na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+