Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 40 alipomchukua Rebeka binti ya Bethueli,+ Msiria,+ wa Padan-aramu, dada ya Labani Msiria, awe mke wake.

  • Kumbukumbu la Torati 26:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+

  • 2 Samweli 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+

  • 2 Wafalme 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Wasiria walikuwa wametoka wakiwa vikundi vya waporaji,+ nao wakamchukua mateka msichana mmoja mdogo+ kutoka katika nchi ya Israeli, naye akaja kuwa mbele ya mke wa Naamani.

  • Isaya 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siria kutoka mashariki+ na Wafilisti kutoka nyuma,+ nao watamla Israeli kwa kinywa kilicho wazi.+ Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki