1 Samweli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+ 1 Samweli 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+ Zaburi 45:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Funga upanga+ wako kwenye paja lako, ewe mwenye nguvu,+Pamoja na utukufu wako na fahari yako.+
3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+
13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+