Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,

      Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+

      Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+

      Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+

  • 1 Samweli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+

  • Zaburi 45:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Funga upanga+ wako kwenye paja lako, ewe mwenye nguvu,+

      Pamoja na utukufu wako na fahari yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki