17 Ndipo akasema: “Fungua dirisha la upande wa mashariki.” Basi akalifungua. Mwishowe Elisha akasema: “Piga!” Basi akapiga. Sasa akasema: “Mshale wa wokovu wa Yehova, naam, mshale wa wokovu+ juu ya Siria! Nawe hakika utaipiga Siria kule Afeki+ kufikia hatua ya kuimaliza.”