1 Samweli 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Wafilisti+ wakakusanya kambi zao zote kule Afeki, huku Waisraeli wakipiga kambi kando ya bubujiko lililo katika Yezreeli.+ 1 Wafalme 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka Ben-hadadi akawakusanya Wasiria+ na kupanda mpaka Afeki+ ili kupigana na Israeli.
29 Na Wafilisti+ wakakusanya kambi zao zote kule Afeki, huku Waisraeli wakipiga kambi kando ya bubujiko lililo katika Yezreeli.+
26 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka Ben-hadadi akawakusanya Wasiria+ na kupanda mpaka Afeki+ ili kupigana na Israeli.