17 Kisha akasema: “Fungua dirisha la upande wa mashariki.” Basi akalifungua. Elisha akasema: “Piga mshale!” Basi akapiga mshale. Sasa akasema: “Mshale wa ushindi wa Yehova, mshale wa ushindi dhidi ya Siria! Utapiga Siria huko Afeki+ mpaka uiangamize kabisa.”