1 Samweli 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wafilisti+ walikusanya majeshi yao yote kule Afeki Waisraeli walipokuwa wakipiga kambi karibu na chemchemi huko Yezreeli.+ 1 Wafalme 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwanzoni mwa mwaka,* Ben-hadadi akawakusanya Wasiria, akapanda kwenda Afeki+ ili kupigana na Waisraeli.
29 Wafilisti+ walikusanya majeshi yao yote kule Afeki Waisraeli walipokuwa wakipiga kambi karibu na chemchemi huko Yezreeli.+
26 Mwanzoni mwa mwaka,* Ben-hadadi akawakusanya Wasiria, akapanda kwenda Afeki+ ili kupigana na Waisraeli.