Yoshua 19:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+ 1 Samweli 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Daudi na wanaume wake wakaamka asubuhi na mapema ili warudi katika nchi ya Wafilisti, nao Wafilisti wakapanda kwenda Yezreeli.+
17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+
11 Basi Daudi na wanaume wake wakaamka asubuhi na mapema ili warudi katika nchi ya Wafilisti, nao Wafilisti wakapanda kwenda Yezreeli.+