Yoshua 19:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+ 1 Samweli 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wafilisti+ walikusanya majeshi yao yote kule Afeki Waisraeli walipokuwa wakipiga kambi karibu na chemchemi huko Yezreeli.+
17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. 18 Na mpaka wao ulifika Yezreeli,+ Kesulothi, Shunemu,+
29 Wafilisti+ walikusanya majeshi yao yote kule Afeki Waisraeli walipokuwa wakipiga kambi karibu na chemchemi huko Yezreeli.+