20Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo.
16 Nao wakaanza kutoka katikati ya mchana wakati Ben-hadadi alipokuwa akinywa na kulewa+ katika vibanda, yeye pamoja na wale wafalme, wale wafalme 32 waliokuwa wakimsaidia.