-
1 Wafalme 20:39Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
39 Mfalme alipokuwa akipita, akamlilia mfalme akisema: “Mimi mtumishi wako nilienda sehemu ambayo mapambano yalikuwa makali vitani, na mtu fulani alikuwa akitoka vitani akaniletea mwanamume mmoja na kuniambia, ‘Mlinde mtu huyu. Akitoroka, utalipia uhai wake kwa uhai wako,*+ la sivyo utalipa talanta moja* ya fedha.’
-