Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe wakaingia ndani ili kutoa dhabihu mbalimbali na dhabihu za kuteketezwa. Yehu alikuwa ameweka wanaume wake 80 nje na kuwaambia, “Yeyote kati ya wanaume ninaowatia mikononi mwenu akiponyoka, mtalipia uhai wake kwa uhai wenu.”*

  • Matendo 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Herode akamtafuta kwa bidii, na aliposhindwa kumpata, akawahoji walinzi na kuamuru wapelekwe kuadhibiwa;+ basi akatoka Yudea na kushuka kwenda Kaisaria, akakaa huko kwa muda.

  • Matendo 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mlinzi wa jela alipoamka na kuona milango ya gereza imefunguka, akauchomoa upanga wake naye karibu ajiue, akidhani wafungwa walikuwa wametoroka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki