Kutoka 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo mara moja Yehoshafati akainama kifudifudi,+ na Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka mbele za Yehova ili kumsujudia Yehova.+ Zaburi 95:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+
31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+
18 Ndipo mara moja Yehoshafati akainama kifudifudi,+ na Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka mbele za Yehova ili kumsujudia Yehova.+