Mwanzo 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakamjibu: “Tumeota ndoto, wala hatuna mtafsiri.” Basi Yosefu akawaambia: “Je, tafsiri si za Mungu?+ Tafadhali, nisimulieni.” Waamuzi 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe usikilize yale watakayosema,+ na baada ya hayo mikono yako itapata nguvu,+ nawe hakika utashuka juu ya kambi hiyo.” Ndipo yeye na Pura mtumishi wake wakashuka mpaka kwenye ukingo wa wale waliokuwa wamejipanga kivita, waliokuwa katika kambi.
8 Wakamjibu: “Tumeota ndoto, wala hatuna mtafsiri.” Basi Yosefu akawaambia: “Je, tafsiri si za Mungu?+ Tafadhali, nisimulieni.”
11 Nawe usikilize yale watakayosema,+ na baada ya hayo mikono yako itapata nguvu,+ nawe hakika utashuka juu ya kambi hiyo.” Ndipo yeye na Pura mtumishi wake wakashuka mpaka kwenye ukingo wa wale waliokuwa wamejipanga kivita, waliokuwa katika kambi.