- 
	                        
            
            Waamuzi 7:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        13 Basi Gideoni akaja, na, tazama! kulikuwa na mtu akimsimulia mwenzake ndoto, naye akasema: “Hii ni ndoto ambayo nimeota.+ Na, tazama! kulikuwa na keki ya mviringo ya mkate wa shayiri ikigeuka-geuka katika kambi ya Midiani. Ndipo ikaja kwenye hema na kulipiga nalo likaanguka,+ ikalipindua juu chini, na hema hilo likaanguka chini.” 
 
-