13 Gideoni alipofika, mtu fulani alikuwa akimsimulia mwenzake ndoto, akisema, “Katika ndoto niliona mkate wa shayiri wa mviringo ukivingirika hadi kwenye kambi ya Wamidiani. Ukalipiga hema kwa nguvu na kuliangusha.+ Naam, ukalipindua hema hilo, likaanguka chini.”