Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+

  • Ezra 6:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao wakafanya sherehe za keki zisizo na chachu+ kwa siku saba nao wakashangilia; kwa maana Yehova aliwafanya washangilie, naye alikuwa ameugeuza+ moyo wa mfalme wa Ashuru kuwaelekea ili kuitia nguvu mikono yao katika kazi ya nyumba ya Mungu wa kweli, Mungu wa Israeli.

  • Nehemia 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa kuwa wote walikuwa wakijaribu kututia woga, wakisema: “Mikono+ yao italegea waache kazi, hivi kwamba haitafanywa.” Lakini sasa itie mikono yangu nguvu.+

  • Isaya 35:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Tieni nguvu mikono iliyo dhaifu, na myaimarishe magoti yanayolegea-legea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki