Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nanyi iweni hodari+ na msiache mikono yenu ilegee,+ kwa sababu kuna thawabu kwa ajili ya kazi yenu.”+

  • Ezra 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo watu wa nchi wakazidi kuilegeza+ mikono ya watu wa Yuda na kuwavunja moyo wasijenge+

  • Isaya 35:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Tieni nguvu mikono iliyo dhaifu, na myaimarishe magoti yanayolegea-legea.+

  • Yeremia 38:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na wakuu wakaanza kumwambia mfalme: “Tafadhali, acha mtu huyu auawe,+ kwa maana hivyo ndivyo anavyoidhoofisha mikono ya watu wa vita ambao wamebaki ndani ya jiji hili na mikono ya watu wote, kwa kuwaambia maneno haya.+ Kwa maana mtu huyu hatafuti amani ya watu hawa bali msiba.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki