3 Basi wakaisimamisha madhabahu imara mahali pake,+ kwa maana woga uliwashika kwa sababu ya vikundi vya watu wa nchi,+ nao wakaanza kutoa juu yake dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova, dhabihu za kuteketezwa za asubuhi na za jioni.+
9 Kwa kuwa wote walikuwa wakijaribu kututia woga, wakisema: “Mikono+ yao italegea waache kazi, hivi kwamba haitafanywa.” Lakini sasa itie mikono yangu nguvu.+