Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+

  • Zaburi 56:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Siku yoyote ile nitakayoogopa, mimi nitakutegemea wewe.+

  • Zaburi 68:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mungu ni mwenye kuogopesha kutoka katika patakatifu pako pakuu.+

      Ndiye Mungu wa Israeli, anayewapa watu nguvu na uwezo.+

      Mungu na abarikiwe.+

  • Zaburi 138:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Katika siku niliyoita, ulinijibu;+

      Ukaanza kunifanya niwe jasiri katika nafsi yangu kwa nguvu.+

  • Isaya 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki