Zaburi 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+ Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+ Zekaria 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitawafanya wawe wakuu katika Yehova,+ nao watatembea huku na huku katika jina lake,’+ asema Yehova.”
31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+
12 Nami nitawafanya wawe wakuu katika Yehova,+ nao watatembea huku na huku katika jina lake,’+ asema Yehova.”